Kocha akaweka mikono kiunoni. “Kwenye shule hii, ni wavulana pekee wanaoruhusiwa kucheza mpira wa miguu,” alisema.
The coach put his hands on his hips. “At this school, only boys are allowed to play soccer,” he said.
Bakafundisha ba mupila babikile amaboko mumusana. Basosele ukutiila “Pano pa sukulu, abalumendo beka eba suminishiwa ukuteya umupila wakumakasa.”
Wavulana walimwambia aende kucheza mpira wa wavu. Walisema mpira wa wavu ni kwa ajili ya wasichana na mpira wa miguu ni kwa wavulana. Andiswa alijisikia vibaya.
The boys told her to go play netball. They said that netball is for girls and soccer is for boys. Andiswa was upset.
Siku iliyofuata, shule yao ilikuwa na mashindano makubwa ya mpira wa miguu. Kocha alikuwa na wasiwasi kwa kuwa mchezaji wake wa kutegemewa alikuwa mgonjwa na asingecheza.
The next day, the school had a big soccer match. The coach was worried because his best player was sick and could not play.
Mchezo ulikuwa mgumu. Hakuna timu yoyote iliyokuwa imefunga goli hadi muda wa mapumziko.
The game was tough. Nobody had scored a goal by half time.
Ubwangalo bwali kosa. Tapaali aba ingisheko mucipande cabumo.
Wakati wa kipindi cha pili kijana mmoja alimpatia Andiswa mpira. Akakimbia kwa kasi sana kuelekea golini. Akaupiga mpira kwa nguvu na akafunga goli.
During the second half of the match one of the boys passed the ball to Andiswa. She moved very fast towards the goal post. She kicked the ball hard and scored a goal.